• Lugha
    • English
    • Français
    • हिन्दी
    • Português
    • Español
    • Kiswahili
  • Kuhusu ANN
    • Mahitaji ya utoaji
    • Mwongozo wa Mtindo
  • World
  • Amerika
  • Asia
  • Ulaya
  • Afrika
  • Oceania
    • ANN Video
    • ANN In-Depth
    • ANN Profiles

ANN na Adventist.news ni njia rasmi za habari za kanisa la Waadventista Wasabato.

  • Facebook
  • Instagram
  • X
  • YouTube
  • Matumizi ya Alama ya Biashara na Nembo
  • Notisi ya Kisheria
  • Sera ya faragha
© 2026 Copyright ©2024, General Conference of Seventh-day Adventists
12501 Old Columbia Pike, 20904 Silver Spring, MD USA 301-680-6000
  • World
  • Amerika
  • Asia
  • Ulaya
  • Afrika
  • Oceania
  • Vyombo vya habari
  • Lugha
    • English
    • Français
    • हिन्दी
    • Português
    • Español
    • Kiswahili
  • Kuhusu ANN
    • Mahitaji ya utoaji
    • Mwongozo wa Mtindo
Seventh Day Adventist Logo

ANN na Adventist.news ni njia rasmi za habari za kanisa la Waadventista Wasabato.

Waadventista Wasabato wamejitolea kuwasaidia watu kuielewa Biblia kupata uhuru.

Jifunze zaidi

  • Adventist.org
  • Adventist Mission
  • ADRA
  • Adventist World Radio
  • Hope Channel

South American Division

Kijana Mwaadventista Hakuza Nuevo Tiempo na Kulenga Kufikia Wanafunzi 50 wa Biblia

Tiffany Seclen anasajiri watu ili kuwapa moyo wasikilize Radio Nuevo Tiempo na kuwaalika wajifunze Biblia katika Nafasi ya Nuevo Tiempo.

20 Aprili 2024
20 Aprili 2024
Tiffany Seclen, mhamasishaji wa Nuevo Tiempo. [Picha: Hifadhi ya Kibinafsi]

Tiffany Seclen, mhamasishaji wa Nuevo Tiempo. [Picha: Hifadhi ya Kibinafsi]

Akiwa na umri wa miaka kumi tu, Tiffany Seclen amekuwa mtangazaji wa Nuevo Tiempo Perú, akiwahamasisha watu sio tu kuisikiliza, bali kumjua Kristo kupitia somo la Biblia linalotolewa na chombo cha habari cha Waadventista.

“Biblia inasema kwamba imetupasa kwenda kufanya wanafunzi, tukiwabatiza kwa jina la Baba, la Mwana, na la Roho Mtakatifu; nami nilikuwa nimebatizwa, kwa hiyo nikaomba nisomee kozi ya Biblia ili kushiriki pamoja na wengine,” akumbuka Seclen.

Huko Bagua, Peru, Seclen amekuwa akifundisha kozi kama vile “Tiba ya Dhambi,” “Elimu ya Kifedha Katika Nuru ya Biblia,” na “Je, Mungu Hunisikia?” kwa marafiki zake wa shule na majirani. “Sasa ninajifunza Biblia na watu watano, na ninatumaini 10, lakini lengo langu ni 50,” asema promota mdogo wa Nuevo Tiempo.

Anasema kwamba, tangu akiwa mdogo sana, mama ya babu yake alimfundisha kutoa mafunzo ya Biblia na yeye hukumbuka hilo. “Kwanza ninawasalimia, kisha ninazungumza nao kuhusu maudhui ya kozi hiyo na nikiona mtu huyo ana nia ya kuisoma, basi ninamwalika kwenye Espacio Nuevo Tiempo,” anasema Seclen.

Ingawa mada za masomo haya zinaonekana kuwa ngumu kwa umri wake, anazisoma kwa kujitolea sana na maombi ili wanafunzi wake waelewe. Hatimaye, ameamua kuwa chombo mikononi mwa Mungu ili kuwaleta watu wengi zaidi miguuni pake.

“Haijalishi una umri gani, lakini kwamba uko tayari kushiriki habari njema ya wokovu,” ashiriki.

The original article was published on the South American Division Spanish website.

Mada

  • Media

Makala Husiani

Mada Husiani

Masuala Zaidi