ANN Kiswahili

Kipindi Kamili cha Video ya ANN - Novemba 17, 2023

Katika kipindi hiki cha ANN, zaidi ya watu 200 wanabatizwa wakati wa Impact Botswana. Adventist World Radio inashirikiana na Kanisa la Waadventista wa Sabato katika nchi 38 kama sehemu ya kampeni ya "Kristo kwa ajili ya Ulaya." Ted N.C Wilson, rais wa Konferensi Kuu ya Waadventista wa Sabato, anatembelea mamlaka nchini Nigeria, akipigania uhuru wa dhamiri kwa wote. Endelea kuwa nasi kwa habari hizi kuu kutoka ulimwenguni kote.